Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi Saku, Dar Es Salaam

Sh. 125,000,000

Maelezo

🏡 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI SAKU 🏡

💰 Bei: Milioni 125 (Mazungumzo yapo)

Muundo wa nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
✅ Sitting Room
✅ Dining Room
✅ Jiko kubwa la kisasa
✅ Public Toilet
✅ Fensi ya waya
✅ Eneo kubwa na zuri kwa matumizi mbalimbali

Hii ni nyumba bora kwa familia inayotafuta makazi ya kisasa katika mazingira mazuri ya Mbagala Chamazi Saku.

📍 Njoo site ukague na ujiridhishe kabla ya kufanya malipo.

📞 Kwa maelekezo zaidi, piga simu: 0683 665504

Matangazo mengine Chamazi, Dar Es Salaam