Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -3
Sh. 300,000 per month

Aina

Nafasi ya Biashara

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥

Unatafuta sehemu bora ya biashara au ofisi? Hii hapa ni chaguo sahihi kabisa!

📍 Eneo: Sinza
💰 Bei: 300,000/= kwa mwezi
✨ Frem nzuri sana yenye muonekano wa kuvutia
🚗 Inatazama lami – rahisi kuonekana na kuvutia wateja
💼 Inafaa kwa biashara ya aina yoyote, hata kwa ofisi (wazee wa ofisi hapa ndipo penyewe 😉)
📈 Eneo zuri lenye mzunguko wa watu

🔌 Service Charge: 30,000/=

📞 Call: 0787093748

Wahi sasa kabla haijachukuliwa! 🚀