Nyumba inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 165,000,000

Aina

Nyumba

Ukubwa

1000 SQM

Barabara ya Karibu

200m

Huduma na Sifa

Maji
Karibu na Stendi ya Mabasi
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA MWISHO (VIWANJA VYA BENKI) 📍

Kipo eneo zuri sana la Tabata Segerea, takribani meter 200 kutoka stendi – sehemu yenye makazi mengi na biashara.

🔹 Ukubwa: Sqm 1000
🔹 Bei: Milioni 165
🔹 Hali ya umiliki: Kimepimwa (hati bado)

🏠 Ndani kuna nyumba za kukarabati zenye wapangaji tayari – fursa ya kipato wakati unaendelea kuboresha au kupanga maendeleo makubwa zaidi.

✅ Maji yapo
✅ Umeme upo
✅ Eneo limejengeka vizuri

💼 Inafaa kwa uwekezaji wa apartments, biashara au makazi binafsi.

📞 Piga: +255688412890
👀 Viewing fee: 30,000/=

✨ Dalali wako Wakishua