Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Mskitini, Dar Es Salaam (450 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
450 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
GENERATIONAL WEALTH ๐ฐ๐ก
Hii ni mali au uwekezaji unaokupa faida sio leo tuโฆ bali hata kwa watoto wako na kizazi kijacho. Ni namna ya kujenga chanzo cha kipato cha kudumu ๐
Sasa sikiliza hii ๐
Kiwanja kinauzwa kikiwa na ukubwa wa 30x15 (450 SQM) ๐
Ni eneo linalofaa sana kwa uwekezaji wa apartments (master โ chumba + choo) ๐ข
๐ Kwa ukubwa huu unaweza kujenga master 10 au zaidi
๐ Kila moja ukapangisha kwa 100,000/= kwa mwezi ๐ธ
๐ Mapato yako = 1,000,000/= kila mwezi ๐ณ๐ฅ
Na VIDEO uliyoiona hapo juu ni MFANO HALISI wa ujenzi kwenye kiwanja kama hiki โ so unaona kabisa kwamba INAWEZEKANA ๐ฏ
Hii sio hadithiโฆ ni opportunity ya kweli ya kujenga kipato cha uhakika kwa muda mrefu.
๐ฅ Bei ni MILIONI 6 TU
๐ Location: KINYEREZI MSKITINI
(Deal kama hii haipatikani kirahisi!)
Usisubiri keshoโฆ anza kujenga future yako leo na uwekezaji wenye maana ๐
๐ Piga/WhatsApp: +255688412890



















