Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam

Sh. 15,000,000

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Inajitegemea
Corner Plot
Street Facing

Maelezo

🏞️ KIWANJA KINAUZWA – KINYEREZI ZABIKAH

πŸ“ Eneo zuri, karibu kabisa na barabara ya lami (dakika 2 tu). Barabara inafikika kwa urahisi mwaka mzima.

✨ Maelezo ya Kiwanja:

* Corner plot
* Kinatazama barabara ya mtaa
* Mazingira mazuri na salama kwa makazi au uwekezaji

🏠 Kwa Makazi:
Jenga nyumba yako ya ndoto katika eneo linalokua kwa kasi na uishi kwa utulivu bila changamoto.

πŸ’Ό Kwa Uwekezaji:
Unaweza kujenga:

* Nyumba 4 za vyumba vya Master, Sebule na Jiko, ukapangisha kuanzia TSh 300,000 kwa kila nyumba kwa mwezi.
AU
* Vyumba 8 vya Master (Self-Contained), ukapangisha kuanzia TSh 150,000 kwa kila chumba kwa mwezi.

πŸ’° Bei: TSh 15,000,000 tu

πŸš— Service Charge (Site Visit): TSh 30,000

πŸ’Ό Udalali: 10%

πŸ“ž Wasiliana:

Karibu sana, tufanye biashara!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings
Dalali Tabata