Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kisota, Dar Es Salaam sqm 4000

video thumbnail
Sh. 620,000,000

Ukubwa

4000 SQM

Maelezo

🔥 KIWANJA CHA UWEKEZAJI KINAUZWA KIGAMBONI KISOTA USHUANI 🔥

• Ukubwa: Sqm 4,000 sawa na heka 1
• Kina Hati ya Makazi
• Kipo ndani ya fensi
• Kimegusa barabara ya mtaa
• Ni kona plot
• Mazingira mazuri sana kwa uwekezaji

✅ Kinafaa kwa:

* Kujenga apartment
* Real estate project
* Kugawa viwanja na kuuza
* Biashara mbalimbali za maendeleo

📍 Eneo linaendelea kukua kwa kasi na lina potential kubwa ya uwekezaji wa muda mrefu.

💰 Bei: Milioni 620
📝 Maongezi kidogo yapo

Karibu sana kwa maelezo zaidi na viewing.
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingsongs

Matangazo yanayofanana Kisota, Dar es Salaam