Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam sqm 650

Ukubwa
650 SQM
Barabara ya Karibu
50m
Huduma na Sifa
Maelezo
š” KIWANJA KINAUZWA ā TABATA SEGEREA CHAMA š„
Fursa nzuri ya kumiliki kiwanja eneo la Tabata Segerea Chama, moja ya maeneo yanayoendelea kwa kasi jijini Dar es Salaam.
ā
Umbali wa mita 50 tu kutoka barabara ya lami
ā
Kiwanja cha nne kutoka barabarani
ā
Kipo ndani ya fence
ā
Eneo ni tambarare kabisa
ā
Halijai maji wala halina changamoto za mafuriko
ā
Barabara za kufika ni nzuri na rafiki mwaka mzima
ā
Usafiri unapatikana kwa urahisi
š Ukubwa: SQM 650
š° Bei: Milioni 80 tu
Eneo hili linafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi au uwekezaji wa muda mrefu kutokana na maendeleo yanayoendelea katika maeneo ya Tabata na Segerea.
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=.
š Muhitaji piga: +255688412890















