Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (751 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
๐กโจ KIWANJA KIZURI KINAUZWA TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BANK DAR ES SALAAM TANZANIA ๐น๐ฟ โจ๐ก
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! ๐
๐ TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BANK
๐UMBALI NI DAKIKA 2 KUTOKA MAIN RAOD
๐ UKUBWA WA KIWANJA NI SQM 751
๐UMILIKI - HATI MILIKI YA WIZARA YA ARDHI
๐ดJe Unahitaji kiwanja ambacho kipo jirani na lami basi kiwanja hiki kitakufaa mteja wangu,
Kwa kiwanja kipo karibu na balabala hii itakupa ulahisi kufika katika makazi yako pia balabala zake ni nzuri hakuna milima wala mabonde hapa inakupa ulahisi wewe mteja kufika kwenye makazi yako,kiwanja hiki kinafaa kwa uwekezaji hasa Apartments au bnb Kwa maana location yake ni nzuri sana pia hata kwa makazi Kama unahitaji kiwanja hiki basi Fanya kuwahi kimbilia fulsa hii isikupite
โ
Njoo ufunje ujenge Apartments kali
โ
Tambarare kabisa
โ
Huduma za kijamii zipo Kama umeme,shule,masoko,
โ
Neighborhood nzuri sana
๐ฐ BEI NI 105 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! ๐ฅ
๐ Muhitaji piga: +255 785 916 587
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliyohanakinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstat














