Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam sqm 300

Ukubwa
300 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
š” KIWANJA KINAUZWA ā TABATA SEGEREA, DAR ES SALAAM š”
š° BEI: MILIONI 48 TU
š Ukubwa: SQM 300
ā
Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto.
ā
Gari linafika bila shida kabisa
ā
Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
š Umiliki wake ni Sales Agreement.
Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
š Muhitaji piga: +255 688 412 890
šµ Gharama ya huduma (Service Charge): 30,000/=
Karibu Tajiri!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! šš”















