Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Sh. 500,000/month

Maelezo

🏠 CHUMBA KIMOJA MASTER, SEBULE NA JIKO VINAPANGISHWA

πŸ“… Vitakuwa tayari kuhamia kuanzia tarehe 1/9/2026

πŸ’° Kodi: TSh 500,000 kwa mwezi

πŸ“ Mahali: Kimara Korogwe

πŸ“„ Masharti ya Malipo: Miezi 6 mbele

SIFA ZA NYUMBA
βœ… Chumba kimoja Master
βœ… Sebule
βœ… Jiko

HUDUMA NA VITU VILIVYOPO
βœ”οΈ Barabara nzuri na rahisi kufika
βœ”οΈ Eneo tulivu na salama
βœ”οΈ Nyumba ipo ndani ya fensi
βœ”οΈ Maegesho ya magari yanapatikana
βœ”οΈ Full A/C
βœ”οΈ Maji na umeme (LUKU) vina mita zake kutoka kwenye chanzo kikuu

πŸ“ž Wasiliana nami:
Simu au WhatsApp: 0766547700

GHARAMA ZA UDALALI
πŸ”Ή Ada ya kuonyeshwa nyumba: TSh 20,000 (hulipwa na mteja kabla ya kwenda kuona nyumba).

πŸ”Ή Commission ya udalali: Kodi ya mwezi mmoja, hulipwa na mpangaji itakuwa wazi 01 09 2026 kuona ruhusa

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam