Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (850 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA NZURI INAUZWA KIGAMBONI KISIWANI โ DAR ES SALAAM ๐ก
Nyumba nzuri sana inauzwa eneo la Kigamboni Kisiwani, mazingira tulivu na salama kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.
โจ SIFA ZA NYUMBA:
๐๏ธ Vyumba 4 vya kulala
๐๏ธ Sebule kubwa
๐ฝ๏ธ Dining
๐ณ Jiko zuri
๐ Eneo la sqm 850
๐ Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
โก Umeme upo
๐ง Maji yapo
๐ LOCATION:
๐ Kilomita 2 tu mpaka Darajani
โด๏ธ Kilomita 4 tu mpaka Ferry
๐ฅ FAIDA ZA ENEO:
โ
Inafaa kuishi na familia
โ
Inafaa kwa uwekezaji wa kupanga
โ
Eneo kubwa unaweza kujenga:
โข Servant quarter
โข Vyumba vya kupangisha
โข Apartment au biashara nyingine
๐ Pia kuna sehemu ya mabanda kwa ajili ya kufugia kuku.
๐ฐ BEI: TSH Milioni 115 tu
๐ค Mazungumzo kidogo yapo
๐ต Service Charge: 30,000/= kwa site visit
๐ Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaam















