Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam (800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA KALI SANA INAUZWA β KIGAMBONI MJIMWEMA
π Eneo zuri na tulivu sana kwa makazi ya kifahari.
β
Vyumba 4 vyote Master
β
Sebule kubwa na dining
β
Jiko la kisasa
β
Eneo la nyumba SQM 800
β
Hati ya Wizara
β
Mazingira mazuri na salama
π° Bei: Milioni 650 Tu
π Kwa mawasiliano na kuangalia nyumba piga simu sasa.















