Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Mfenesini, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ NYUMBA INAUZWA β CHAMAZI MFENESIN π₯
Bei: Milioni 60 (mazungumzo yapo)
Mwenye nyumba anauza kwa haraka β usiikose fursa hii!
βοΈ Vyumba 3 vya kulala β vyote Master Bedroom
βοΈ Nyumba ya kisasa yenye A/C
βοΈ Kisima cha maji β huduma ya maji ya uhakika
βοΈ Eneo zuri na tulivu, linafikika kwa urahisi
π₯ Hii ni deal ya kipekee β shida isimpate mwenzio ikakuacha wewe!
π Ipo Chamazi Mfenesin
π Kwa maelekezo zaidi piga: 0683 665504
Wahi sasa kabla haijaondoka!















