Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Mzambalauni, Dar Es Salaam

Sh. 27,000,000

Huduma na Sifa

Umeme
Maji
Sebule
Jiko
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – CHAMAZI MZAMBALAUNI 🏡

💰 Bei: TSh Milioni 27 Tu

Unatafuta nyumba nzuri kwa bei nafuu? Hii hapa fursa yako!

📍 Eneo: Chamazi Mzambalauni
🚶 Dakika 5 tu kutoka barabara kuu ya lami.

✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Chumba 1 Master Bedroom
✅ Sitting Room
✅ Jiko
✅ Umeme upo
✅ Maji yanapatikana

Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na salama, inafaa kwa makazi ya familia na uwekezaji.

📞 Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu:
0683 665504

Matangazo mengine Chamazi, Dar Es Salaam