Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mikwambe, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI MIKWAMBE CHUO
Unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na nafasi ya kuendeleza? Hii ni fursa nzuri kwako!
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
β
Sebule kubwa pamoja na Dining
β
Jiko la kisasa
β
Choo cha nje
β
Eneo la ukubwa wa SQM 700
β
Nafasi kubwa ya kujenga nyumba nyingine au Servant Quarter
β
Mita 300 kutoka barabara ya lami
β
Kilomita 11 kutoka Feri
β
Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
β
Nyumba ya kuhamia moja kwa moja
π° Bei: TZS Milioni 140 (Mazungumzo yapo)
π0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















