Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA ā TSH MILIONI 76 TU!
š Eneo: Mbagala Chamazi Mikumi
š Ipo jirani kabisa na barabara kuu ya lami ā ni sekunde 15 tu kutoka barabara ya lami.
Sifa za nyumba:
ā
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
ā
Sitting Room kubwa
ā
Dining Room
ā
Jiko la kisasa
ā
Fence yenye waya wa umeme (Electric Fence)
ā
Maji ya kutosha mwaka mzima
š Wahi kabla haijauzwa!
Kwa maelezo zaidi au kupanga kuitembelea, piga simu: 0683 665 504.
Serious buyers tu. Karibu ukague nyumba na ufanye maamuzi sahihi!















