Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 85,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Ardhi Tambarare
Neighborhood Nzuri Sana
Mtaa Inayopitika Muda Wote
Hakina Mto Bonde Wala Korongo
Ufaao Kwa Ujenzi Wa Nyumba Ya Makazi Binafsi

Maelezo

KIWANJA KINAUZWA – TABATA BONYOKWA

Unatafuta kiwanja katika eneo bora kwa makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa unayoisubiri!

πŸ“ Eneo: Tabata Bonyokwa
πŸ“ Ukubwa: Sqm 700
πŸ’° Bei: TSh Milioni 85 (Inajadiliwa)
πŸ“„ Hati: Hati Miliki ya Wizara

Sifa za kiwanja:
βœ… Kipo katika neighborhood nzuri sana.
βœ… Kinapakana na barabara kubwa ya mtaa inayopitika muda wote.
βœ… Hakina mto, bonde wala korongo.
βœ… Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi.
βœ… Pia ni bora kwa uwekezaji wa apartments au nyumba za biashara kutokana na eneo lake zuri.

Karibu uwekeze leo na ujenge kesho yako kwa uhakika.

πŸ“ž Muhitaji piga: au
πŸ’Ό Service Charge: TSh 50,000/=

Dalali wa viwanja, nyumba, fremu na gari used

dalali_viwanja_nyumba_dar_

@dalali_viwanja_nyumba_dar_

View Listings

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam

Dalali wa viwanja, nyumba, fremu na gari used