Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 600,000/month

Maelezo

🚨 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🚨

📍 Eneo zuri la biashara, lenye muonekano mzuri na wateja wa kutosha.

💰 Kodi: TSh 600,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 6

✅ Inafaa kwa:
• Salon
• Boutique
• Office
• Pharmacy
• Cosmetics
• Mini Supermarket
• Biashara nyingine yoyote.

💵 Service Charge: TSh 30,000

🔥 Wahi sasa! Fremu za Sinza hupangishwa haraka. Piga simu sasa kupanga kuiona.