Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
✨ HELLO MONDAY ✨
Wiki mpya imefika na fursa mpya zimefunguliwa!
Kila mwanzo wa wiki ni nafasi nyingine ya kufanya maamuzi yatakayobadili maisha yako ya kesho. Leo ndiyo siku sahihi ya kuanza safari ya uwekezaji salama na wa uhakika. 🏡💚
Usisubiri mpaka bei zipande au maeneo yajazwe na watu, chukua hatua mapema na anza kujijengea future yako kupitia umiliki wa ardhi.
Kumbuka, uwekezaji bora huanza na maamuzi madogo ya leo.
Mradi
📌Kimbiji kwa Chale
📍 Mita 200 tu kutoka barabara kuu
🌊 Mita 600 kutoka baharini
💰 Bei ni sh 30,000 kwa sqm
✅ Anza na down payment ya 20% tu
📆 Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
📍 BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni – Dar es Salaam
✔ Km 2 kutoka Baharini
✔ Km 1 kutoka Barabara kuu
💰 Bei Maalum:
• Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
• Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
✔ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 Wasiliana nasi:
📞+255 748 303 601
Ofisi zipo
📍Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
Karibu Trust Solution Company Ltd tuanze pamoja safari ya kutimiza ndoto zako za kumiliki kiwanja chenye thamani inayokua kila siku. 🌱
#HelloMonday #NewWeekNewEnergy #AnzaKumiliki #TrustSolution #UwekezajiSalama AndaMakazi RealEstateTanzania















