Viwanja vinauzwa Kimbiji kwa Chale, Dar Es Salaam

Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
200m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
✨📍🍀 Uwekezaji sahihi huanza na maamuzi sahihi!
Kila mtu anatamani kumiliki ardhi, lakini wachache ndio huchukua hatua kwa wakati. Usisubiri hadi bei zipande au maeneo yajae—anza leo kujenga kesho yako. Kiwanja ni mali isiyopoteza thamani, bali huongezeka kadri muda unavyokwenda.
Nunua kwa uhakika, hakikisha unapata nyaraka sahihi na ushauri wa kitaalamu. Hii siyo tu kununua ardhi, bali ni kuwekeza kwenye maisha bora ya baadaye yako na familia yako. Miradi
📌Kimbiji kwa Chale
📍 Mita 200 tu kutoka barabara kuu
🌊 Mita 600 kutoka baharini
💰 Bei ni sh 30,000 kwa sqm
✅ Anza na down payment ya 20% tu
📆 Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
📞Wasiliana nasi +255 748 303 601
📍Ofisi zinapatikana Makumbusho jengo la Derm Plaza Floor ya 11 Hatua ndogo ya leo, ndiyo mafanikio makubwa ya kesho.” 🌱✨
#KimbijiPlots
#DarRealEstate
#InvestInLand
#OwnLandNow
#SmartInvestment















