Tafuta

Viwanja vinauzwa Mwasonga, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 25,000/sqm

Aina

Kiwanja

Residential Plot for sale in Mwasonga

Ukubwa

400 SQM

Barabara ya Karibu

2km

Awali

Inaruhusiwa

Maelezo

🔥 MRADI MPYA – KIGAMBONI MWASONGA 🔥

Fursa nzuri kwa yeyote anayetamani kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye makazi tayari.

📍 Mradi upo KM 23 kutoka Ferry
📍 Ni KM 2 tu kutoka barabara kuu
🏘 Eneo tayari limeendelea na majirani wapo wanaishi sio pori.

📐 Ukubwa wa viwanja kuanzia SQM 400 na kuendelea, hivyo unaweza kuchagua ukubwa unaokufaa kwa makazi au uwekezaji.

💰 Bei:
• Tsh 25,000 kwa SQM – Cash
• Tsh 30,000 kwa SQM – Installments

📝 Malipo ni rahisi:
Unaanza na 10% tu, kisha inayobaki unalipa ndani ya miezi 12 Tu.

📍Dar Office Zetu Zinapatikana Makumbusho, Mwanga Tower 12th Floor.
📍Dodoma Nyerere Square (Imarika Floor No 2)

Call/Whatsapp
☎️0747519264

Matangazo yanayofanana Mwasonga, Dar es Salaam