Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Facity, Dar Es Salaam (450 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 75,000,000

Amenities

Title Deed
Electricity
Tiles
Jiko
Sebule kubwa
Dining

Description

🔥 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI FANICITY 🔥🏡

✨ NYUMBA YA KISASA KWENYE HATUA ZA MWISHO ZA UMALIZIAJI!

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo zuri la Kigamboni – Fanicity, eneo tulivu na linalofaa kwa makazi.

🏠 SIFA ZA NYUMBA:
✅ Vyumba 4, Viwili master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
🏗️ Ipo katika hatua za umaliziaji
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 450
📄 Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
✨ Nyumba ya kisasa kabisa

📍 UMBALI:
🚗 Kilomita 1 kutoka Barabara ya Lami
⛴️ Kilomita 12 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni

💰 BEI: TZS MILIONI 75
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.

🔥 Usikose fursa hii! Nyumba nzuri, eneo zuri na nafasi ya kuimalizia kwa style yako mwenyewe.

📞 Wasiliana nasi:
📍Service charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

Dalali Kigamboni mbavu