Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Facity, Dar Es Salaam (450 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
450 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
๐ฅ NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI FANICITY ๐ฅ๐ก
โจ NYUMBA YA KISASA KWENYE HATUA ZA MWISHO ZA UMALIZIAJI!
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo zuri la Kigamboni โ Fanicity, eneo tulivu na linalofaa kwa makazi.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
โ
Vyumba 4, Viwili master
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko
๐๏ธ Ipo katika hatua za umaliziaji
๐ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 450
๐ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
โจ Nyumba ya kisasa kabisa
๐ UMBALI:
๐ Kilomita 1 kutoka Barabara ya Lami
โด๏ธ Kilomita 12 kutoka Ferry
๐ Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
๐ฐ BEI: TZS MILIONI 75
๐ค Mazungumzo kidogo yapo.
๐ฅ Usikose fursa hii! Nyumba nzuri, eneo zuri na nafasi ya kuimalizia kwa style yako mwenyewe.
๐ Wasiliana nasi:
๐Service charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















