Kiwanja kinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam


🌊🏝 FURSA MPYA YA UWEKEZAJI – KIMBIJI KWA CHARLES 🏝🌊
Kama unatamani kumiliki kiwanja kwenye eneo zuri, lenye upepo mwanana wa bahari na ukuaji wa kasi, basi huu ndio muda wako. Mradi mpya umefika Kimbiji kwa Charles!
📍 Umbali wa mita 200 tu kutoka main road
🌊 Mita chache sana kutoka baharini
📏 Bei ni Tsh 30,000 tu kwa SQM
💰 Malipo ni mepesi kabisa:
✔ Anza na 20% tu ya malipo
✔ Salio unamalizia kidogo kidogo
Hii ni nafasi ya kipekee kwa anayefikiria kujenga, kuwekeza au kuweka akiba ya ardhi kwa ajili ya kesho.
Maeneo ya karibu na bahari yana thamani kubwa na yanapanda bei haraka sana.
⚡ Usichelewe – nafasi ni chache na wanaowahi ndio wanafaidika!
📞+255 748 303 601
Wasiliana nasi leo utembelee site na uchague kiwanja chako.
#Kimbiji #BeachPlots #ViwanjaVinauzwa #RealEstateTanzania #Uwekezaji ArdhiNiUtajiri InvestSmart



















