Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA YA VYUMBA 3, TSHS.65 MILIONI, MBEZI KWA UNJU/MSIGWA.
Hapa ni umbali wa kilomita 1 tu kutoka KIFULU SENTA.
Nyumba nzu, mpya, yakisasa na yenye nafasi.
Vyumba 3 ( Vyumbax2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mpg