Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mjiweni Mgindoni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
9km
Maelezo
๐ก NYUMBA MPYA INAUZWA โ KIGAMBONI MJIWENI MGINDONI ๐ก
Unatafuta nyumba ya kisasa iliyo katika mazingira mazuri na yenye urahisi wa kufikika? Hii ni fursa yako!
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 3 vya kulala โ vyote Master
โ
Sebule kubwa na ya kisasa
โ
Jiko la kisasa
โ
Kisima cha maji
โ
Eneo tulivu na salama
โ
Nyumba ni mpya kabisa, ipo hatua ya finishing
โ
Utakabidhiwa ikiwa imekamilika tayari kuhamia
๐ Mahali:
โข Mita chache kutoka barabara kuu ya lami
โข Kilomita 9 kutoka Feri ya Kigamboni
โข Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
๐ Dokumenti: Serikali ya Mtaa
๐ฐ Bei: TZS Milioni 160
๐ค Mazungumzo kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
๐ 0769554221
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateinvestment #realestateagent #trendingaudio















