Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mjiweni Mgindoni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA MPYA INAUZWA โ€“ KIGAMBONI MJIWENI MGINDONI ๐Ÿก

Unatafuta nyumba ya kisasa iliyo katika mazingira mazuri na yenye urahisi wa kufikika? Hii ni fursa yako!

โœจ Sifa za Nyumba:
โœ… Vyumba 3 vya kulala โ€“ vyote Master
โœ… Sebule kubwa na ya kisasa
โœ… Jiko la kisasa
โœ… Kisima cha maji
โœ… Eneo tulivu na salama
โœ… Nyumba ni mpya kabisa, ipo hatua ya finishing
โœ… Utakabidhiwa ikiwa imekamilika tayari kuhamia

๐Ÿ“ Mahali:
โ€ข Mita chache kutoka barabara kuu ya lami
โ€ข Kilomita 9 kutoka Feri ya Kigamboni
โ€ข Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere

๐Ÿ“„ Dokumenti: Serikali ya Mtaa

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 160
๐Ÿค Mazungumzo kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.

๐Ÿ“ž 0769554221
๐Ÿ“Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateinvestment #realestateagent #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Dege, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Sh. 1,500,000,000

For Sale4 beds3 baths1,500 sqmhouse