Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule-Fremukumi, Dar Es Salaam (250 sqm)

video thumbnail
Sh. 20,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

250 SQM

Huduma na Sifa

Umeme
Maji
Sebule
Jiko
Karibu na Hospitali

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.20 MILIONI TU,KIVULE-FREMUKUMI.

NI JIRANI NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
(AMANA NDOGO)

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 250.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.

Huduma za Umeme na Maji zipo.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

____________mskv