Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 76,000,000

Maelezo

šŸ” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – TSH MILIONI 76 TU!

šŸ“ Eneo: Mbagala Chamazi Mikumi
šŸš— Ipo jirani kabisa na barabara kuu ya lami – ni sekunde 15 tu kutoka barabara ya lami.

Sifa za nyumba:
āœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
āœ… Sitting Room kubwa
āœ… Dining Room
āœ… Jiko la kisasa
āœ… Fence yenye waya wa umeme (Electric Fence)
āœ… Maji ya kutosha mwaka mzima

šŸ“ž Wahi kabla haijauzwa!
Kwa maelezo zaidi au kupanga kuitembelea, piga simu: 0683 665 504.

Serious buyers tu. Karibu ukague nyumba na ufanye maamuzi sahihi!

Matangazo mengine Chamazi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam

Sh. 65,000,000

For Sale4 beds3 bathshouse
Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Chamazi, Dar Es Salaam

Sh. 29,000,000

For Sale2 beds350 sqmhouse