Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Ulongoni A, Dar Es Salaam (400 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β KINYEREZI ULONGONI A
π Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa sahihi!
π Ukubwa: SQM 400 (20m Γ 20m)
π£οΈ Kipo kona, kina barabara mbili na kinapakana na barabara ya mtaa.
π Dakika 2 tu kutoka barabara ya lami.
β
Kinafaa kwa:
β’ Kujenga nyumba ya makazi.
β’ Uwekezaji wa nyumba za kupangisha.
π‘ Unaweza kujenga:
π Nyumba 4 za master, sebule na jiko na kila moja ukapangisha TSh 300,000 kwa mwezi.
AU
ποΈ Vyumba 6 vya master (chumba na choo) na kila kimoja ukapangisha TSh 200,000 kwa mwezi.
π° Bei: TSh Milioni 15
π Udalali: 10%
π Service Charge: TSh 30,000
π Muhitaji piga simu:
π₯ Wahi sasa! Kiwanja hiki kipo katika mazingira mazuri, kinachokua kwa kasi, na ni chaguo bora kwa makazi au uwekezaji.
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















