Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mikwambe, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI MIKWAMBE CHUO
Unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na nafasi ya kuendeleza? Hii ni fursa nzuri kwako!
โ
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
โ
Sebule kubwa pamoja na Dining
โ
Jiko la kisasa
โ
Choo cha nje
โ
Eneo la ukubwa wa SQM 700
โ
Nafasi kubwa ya kujenga nyumba nyingine au Servant Quarter
โ
Mita 300 kutoka barabara ya lami
โ
Kilomita 11 kutoka Feri
โ
Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
โ
Nyumba ya kuhamia moja kwa moja
๐ฐ Bei: TZS Milioni 140 (Mazungumzo yapo)
๐0769554221
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















