Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam


🌊 Miliki Kiwanja Karibu na Bahari – Kimbiji Kigamboni! 🏝️
Fursa imefika kwa wale wanaotaka kuwekeza sehemu yenye thamani inayokua kila siku.
Tuna mradi mzuri wa viwanja Kimbiji Kigamboni, eneo tulivu, salama na lenye mandhari ya kuvutia karibu na bahari.
📍 Mita 200 tu kutoka barabara kuu
📍 Takribani mita 600 kutoka Ocean
💰 Bei ni Tsh 30,000 kwa sqm
✅ Malipo kuanzia 20% ✅Na malipo ya kidogo kidogo ndani ya miezi 18
🍀Hii ni nafasi ya kujenga kesho yako leo. Maeneo ya Kigamboni yanaendelea kukua kwa kasi – usisubiri bei zipande ndipo uanze kufikiria.
Chukua hatua sasa, miliki kiwanja chako halali na salama.
Uwekezaji wa ardhi haujawahi kumuacha mtu maskini.
📞+255 748 303 601
Wasiliana nasi leo upate nafasi yako kabla havijaisha.
#LandInvestment #KigamboniKimbiji #ViwanjaDar #RealEstateTanzania #InvestSmart OwnYourLand BeachSideInvestment



















